Wakiwa njiani trafic aliwasimamisha, alipochungulia ndani ya gari alimuona Papa anaendesha gari, baada ya kuona hivyo alitoka nduki na kwenda kumwita mkuu wake.
Mkuu wake naye alipofika akachungulia ndani ya gari na kumuona Papa kajituliza kwenye kiti cha dereva, Mkuu huyo akatoka nduki.
Trafic mdogo alipoona mkuu wake anakimbia na yeye aliunga tera bila kujua kilichokuwa kinamfanya mkuu wake huyo akimbie.
Wakati wanakmbia huku wakiwa wameongozana, Trafic mdogo alimuuliza mkuu wake,
"Mkuu vipi tena unakimbia?"
Yule mkuu akajibu,
"KAMA PAPA AMEKUWA DEREVA, YULE ANAYEENDESHWA KAMA SIYO YESU BASI NI MUNGU MWENYEWE!!!!
No comments:
Post a Comment