Siku moja padri alitangaza kanisani kila mwanaume atoe mchango kulingana na uzuri wa mke wake,
basi watu wakaanza kutoa.
Wengine wakatoa sh. 50,000/=, wengine wakatoa sh.30,000/= na wengine sh.20,000/=.
Kuna jamaa mmoja yeye akatoa sh.500/=,
Padri akamuuliza jamaa,
"Wewe umetoa sh.500 tu ina maana mkeo siyo mzuri?"
Jamaa akajibu,
"Tena ukimuona utanirudishia na chenji!"
No comments:
Post a Comment