Mwanasheria alifanya mapenzi na mwanamke kwenye gari, baada ya kufanya hicho kitendo mwanamke huyo alisahau chupi yake mle mle kwenye gari.
Mwanamke yule alisahau chupi yake humohumo kwenye gari.
Mke wa mwanasheria alipoingia kwenye gari akaiona chupi hiyo,
kwa vile alikuwa na wivu sana aliichukua na kuichanachana kwa hasira kisha akaanza kumfokea mume wake akimwambia kamsaliti.
Mwanasheria akasema,
"Umechana ushahidi katika kesi ya ubakaji na ningepata milioni nne kwa kesi hiyo"
Mke akaanza kujutia,
"Samahani sana mume wangu sikujua, ngoja basi niweke yangu inafanana na hii niliyoichana!"
Chezea mwanasheria weye!
No comments:
Post a Comment